Maelezo ya picha, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika kaburi la Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli 27 Machi 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Tangu ameingia madarakani, tuzo mbalimbali zimemiminika kwa Rais Samia kwenye sekta za utalii, miundombinu, utawala bora na ...
Uteuzi wa kumfanya Samia Hassan Suluhu kuwa Makamu wa Rais mwaka 2015 uliwasogeza wanawake nafasi moja zaidi kuelekea katika wadhifa wa juu kabisa. Maelezo ya picha, Anna Mghwira akiwa na hayati ...
RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023 na kuahidi kuwa serikali ...
Makamu huyo wa zamani wa rais ... nafasi za urais katika uchaguzi wa mwezi Oktoba. Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Samia Suluhu Hassan.
RAIS Samia Suluhu Hassan amepokea tuzo ya heshima ya ‘The Gates Goalkeepers Award’ kutambua juhudi zake za kupunguza vifo vya mama na mtoto kwa asilimia 80, kuboresha upatikanaji huduma za afya na kuk ...
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokewa na wakazi wa Dodoma baada ya kutunukiwa tuzo ya Gates Goalkeeper huku akisema tuzo hiyo ni ya wahudumu wa sekta ya afya na Watanzania wote.
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuvunja na kuandika rekodi ya kuwa Rais aliyepokea idadi kubwa ya Wakuu wa Nchi (35) ...